Wednesday, February 18, 2009

UREMBO WA SHANGA.
















shanga ni kitu kizuri sana maana sie waafrika hutumia kama urembo ingawa matumizi yake ni mengi ndio maana hata leo wenzetu wana boresha na kizifanya ziwe za kisasa zaidi unaweza kuvaa na bado ukonekana mrembo wa kuvutia .


unaweza kuweka oda yako hapa niandikie tu ukitaka kujua mambo haya kisha nitakufahamisha namna ya kupata




No comments:

Post a Comment