Thursday, March 26, 2009

mama obama kwa pamba si mchezo



















RAIS Barack Obama wa Marekani na mkewe, Michelle.
Kama utaweza fuatilia mavazi ya Michelle, anavaa tofauti sana na wake wa marais wengine.
Ili kuthibitisha hili, ni mke wa Rais yupi anayevaa nguo kama anazofaa First Lady wa Marekani?
Nieleweke kwamba sizungumzii thamani ya nguo za First Lady wa US ila design ya 'pamba' zake, mfano, namna anavyoacha mabega yake wazi.

TANZANIA MITINDO HOUSE



haya ni baubunifu ya mwanamboka




UBUNIFU WA HKADIJA





HADIJA MWANAMBOKA KATIKATI AKIWA NA WAREMBO WA TZ

Khadija akiwa na baadhi ya warembo na wanamitindo wa Tanzania

Friday, March 20, 2009

jamani mitindo na mastaa wa nnje


na bibiye beyonce na jay z



bibi alek weke mwanamitindo maarufu tu unaona kivazi chake







angelina joel na kivazi chake



shaun robinson








taraji henson

kivazi cha jlo


hapa ni jl na beyonce kazi kweri kweriiiiiii




wadau mnaopenda mitindo na kuiga kazi kwenu

vivica fox alivyo sasa




namkumbuka sana katika ile two can play thye game dah si mchezo kiboko sana si hiyo tu star huyu kacheza movie kibao.

jiamini mdau




mna la kusema wadau?? kuhusu monique




usiogope macho ya watu toka kivyako.

Thursday, March 19, 2009

Queen Latifah kajaliwa binti


Acha aitwe Qeen bwana

soma namba hiyo binti simple na katoka chicha
UONGO MBAYA KAPENDEZA ANACHONI VUTIA NI KUJIAMINI DADA HUYU KAJALIWA