Friday, February 20, 2009

Stop copying,Do the right thing!

Attention jamani,,hebu cheki na huyu dada, tunaweza kumuita the biggest glamour killer? Mostly found in the concept of too much. Unashauriwa kuwa simple jamani,kwa mtazamo wa kibongo yuko poa lakini unaambiwa once you are getting into trip never complicate...Too much jewelry. Too much purse. We're not layer cakes. Let accessories adorn you. They're lucky to see the light of day.


Unajua nini?tunavyoona maceleb kwenye tv au magazines tunaona they looks fly lakini ukweli ni kwamba saa nyingine wanachemka vibaya....hebu mwangalie Gwen na style yake ambayo siku ya event yeye ndio alimess up vibaya kwenye suala zima la nywele.....

No comments:

Post a Comment