Thursday, February 19, 2009

MWANAMKE KUCHA









kucha ni kitu muhimu sana ambacho usipo kuwa makini katika kuzitunza basi zitakupa madhara makubwa tu sote tunajua umuhimu wa kucha na jinsi zivanyopendeza hasa pale zinapokuwa na matunzo mazuri kwa maana ya usafi na urembo wa rangi .



MER LARAIN Classic saloon iko mbioni kufunguliwa jijini bongo utapata wataalam wa kuzitunza na kuzitengeza kucha zako baada ya malalamiko mengi kuwa watu wengine wanapo weka kucha bandia kucha zao huoza au kuaharibika sasa usijali ufumbuzi wa tatizo lako upo njiani.

No comments:

Post a Comment