Friday, March 13, 2009
FIRST LADY WETU
Monday, March 9, 2009
SIKU YA WANAWAKE DUNIANI ILIVYO FANA
Akina mama Idaya Salum, Violet Mkwawa na Mariam Abdu wanaofadhiliwa na shirika la Care International wakiuza vikapu maalum vya kuwekea maua vilivyotengenezwa kwa ustadi mkubwa kwa kutumia majani makavu katika maonyesho ya wakina mama wajasiriamali katika maadhimisho ya siku ya wanawake duniani yaliyofanyika viwanja vya mnazi mmoja leo.
Wageni kutoka Norway Anne kushoto na Graziella Van Den Bergh wa chuo kikuu cha Bergen University College wakijinunulia vitu mbalimbali wakati walipotembelea maonyesho ya akina mama yaliyofanyika katika viwanja vya mnazi mmoja leo katika maadhimisho ya siku ya wanawake duniani
FATMA AMOUR
USIKU WA KAKA KUONA KILA VAZI LILIVUTIA
Gabriel Saktamole akiwa na wanamitindo walioonyesha nguozake katika onyesho la Kaka Kuona.
USIKU WA KAKA KUONA NA FATMA AMOUR
Wednesday, March 4, 2009
Subscribe to:
Posts (Atom)



